Gazeti la Daily Mail ni moja
ya Magazeti makubwa zaidi Uingereza na Ulaya, wataalamu wao wamefanya
utafiti na kuyataja maeneo kumi ambayo siyo salama duniani kwa wanawake
kutembelea kipindi cha mapumziko na sikukuu kama wakiwa peke yao.
India: Jamaa wanasema huku kumekuwa na stori nyingi
za matukio ya ubakaji wa wanawake, hii imefanya baadhi ya watalii kuwa
na hofu ya kutembelea nchi hiyo. Ripoti hiyo inaonesha kunaripotiwa
tukio la ubakaji...
Latest News
Loading...