Latest News
Loading...

Wananchi Waanza Kugombania Kiti Alichokikalia Rais Magufuli Kwenye Mgahawa Jijini Mwanza

Mgahawa aliotumia Rais John Magufuli kupata mlo wa mchana na msafara wake juzi kwenye Uwanja wa Ndege wa Mwanza, umekuwa kivutio kwa wateja wengi wakinunua chakula na kutaka kukalia kiti na meza alivyotumia kiongozi huyo. Meneja wa mghahawa huo wa Victoria, Elizabeth Maneno (pichani) alisema jana kwamba hali hiyo ilijitokeza mara baada ya Rais kuondoka hapo. “Hata...

Breaking News: Wabunge Watatu Wafikishwa Mahakamani Kwa Tuhuma za Rushwa

Pichani kutoka kushoto ni Mbunge wa Mwibala,Mh.Kangi Lugola,Mbunge wa Mvomero Mh.Sadiq Murad pamoja na Mbunge wa jimbo la Lupa Mh.Victor Mwambalaswa ** Wabunge watatu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,wamefikishwa mahakama ya Kisutu leo kwa tuhuma za rushwa.Wabunge hao ambao ni wajumbe wa Kamati za kudumu za Bunge wanatuhumiwa kushawishi na kupokea...

TRA Yakamata Magari Matano ya TFF Kutokana na Malimbikizo ya Kodi ya Bilioni 1.118

Mamlaka ya mapato nchini (TRA) imeibukia tena Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) lakini safari hii haijapiga kufuli account za TFF badala yake imeondoka na magari matano yanayomilikiwa na shirikisho hilo kutokana na kulidai kiasi kikubwa cha kodi. TRA imeamua kuchukua magari hayo ikitaka TFF kulipa deni la malimbikizo ya kodi mbalimbali wanayodaiwa ili warejeshewe...

New Video: Big Sheff – No Fine

Emerging artiste Big Sheff is putting moves in place to become the next urban hip rapper. He just dropped the visuals to his latest single “No Fine”. The video was directed by Labi. Check it out below. ...

Don Jazzy is Trending because he asked for a Follow Back? Here’s what Happened…

Don Jazzy has been trending on twitter for the past 3 hours for asking a girl to follow him. The award-winning record producer displayed his “sharp guy” skills when a beautiful tweet Responded to his funny tweet about Rihanna and Snapchat. He quickly said “ya avi is fine o. Wozup I’m Michael” He was nearly discouraged as he was waiting for a response...

Waziri wa Ujenzi Prof. Mbarawa afanya ziara ya kushtukiza KOJ Kurasini

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa amemuagiza Kaimu Meneja Msaidizi wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) Nelson Mlali kufanya uhakiki wa kampuni zinazotoa huduma mbalimbali bandarini ili kuboresha utendaji kazi na kuepuka mgongano wa maslahi binafsi minongoni wa watumishi wa bandari. Profesa Mbarawa alitoa kauli hiyo baada ya kufanya ziara...

Tanzania yapokea msaada wa shilingi bilioni 116.4 kutoka Japan.

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesaini hati mbili za makubaliano na Serikali ya Japan itakayoiwezesha Tanzania kupata kiasi Yen Bilioni 6 ambazo ni sawa na Sh. Bilioni 116.4 za Kitanzania. Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kusaini hati hizo, Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Dkt. Servacius Likwelile alisema mkataba wa kwanza utasaidia...

Tiwa Savage, D’Banj & Yemi Alade Interrupt Lagos Heatwave With Cold Gold at #GidiFest2016

Easter weekend witnessed the loudest party of the year so far; as African entertainment industry’s heavyweights including: Tiwa Savage, Phyno, D’banj,Yemi Alade, Ikon, K.O, Adekunle Gold, MTV Base South African VJ, Nomuzi, andTimaya descended on Eko Atlantic City alongside American Honey for one intense Saturday evening...

Jennifer Lopez addresses rumours she Insured her Famous Derrière for a Million Dollars | Watch

While driving around with James Corden for The Late Late Show Carpool Karaoke Primetime Special, Jennifer Lopez responded to a question from the talk show host about the raging rumour that she had insured her famous derriere for a million dollars. Responding to the rumours, she said “No! There’s no such thing as that… I think there is...

Chris Brown Shades Singer Kehlani for Attempting Suicide

Singer Chris Brown was trending on social media last night for his not-so-sensitive comments about singer Kehlani who allegedly tried to end her own life after it was alleged that she cheated on her boyfriend, basketball player Kyrie Irving, with her ex, rapper PartyNextDoor 0n a series of tweets, Chris Brown calls out Kehlani saying “stop...

Adele meets her “Doppelganger” Fan at Birmingham Concert

“Hello” singer, Adele has been on a worldwide tour, and Tuesday evening she held a concert at Birmingham. Her tour has been filled with many surprises, fromcalling up a couple who proposed on stage, to twerking for her fans, Adele’s shows has been nothing short of entertaining. This time, her “doppelganger” was revealed! It all started with a tweet from a guyTom who...

New Music: Harrysong feat. Kcee – BabaForTheGirls

Gala ambassador Harrysong is a year older today and in celebration, he has released a new single titled #BabaForTheGirls which features his label mateKcee. The song was produced by Dr. Amir. Listen and download below: Audio Player 00:00 00:00 Use Up/Down Arrow keys to increase or decrease volume. Downl...

Mwanamke Mbaroni kwa Kukutwa na Meno ya Tembo Morogoro....

Jeshi la polisi mkoani Morogoro linamshikilia mwanamke mmoja Magreth Mosha mkazi wa Kibaha mkoani Pwani kwa tuhuma ya kupatikana na vipande saba vya meno ya tembo. Jeshi hilo pia linamshikilia Bw. Hamis Balewa mkazi wa kijiji cha Mbasa wilayani Malinyi kwa kukutwa na nyama ya sheshe kilo ishirini zenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni moja. Akizungumzia tukio...

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatano ya March 30

...