
Ikiwa ni siku ya mwisho ya dirisha la usajili nchini Uingereza klabu ya Liverpool imekamilisha usajili wa kiungo wa kati Alex Oxlade-Chamberlain kutoka katika klabu ya Arsenal kwa kiasi cha pauni milioni 35.Chamberlain mwenye umri wa miaka 24 awali alikuwa akiwindwa na mabigwa watetezi wa ligi kuu ya Uingereza Chelsea lakini alikataa uhamisho huo siku ya Jumanne na sasa...