Latest News
Loading...

Liverpool yakamilisha usajili wa Chamberlain

Ikiwa ni siku ya mwisho ya dirisha la usajili nchini Uingereza klabu ya Liverpool imekamilisha usajili wa kiungo wa kati Alex Oxlade-Chamberlain kutoka katika klabu ya Arsenal kwa kiasi cha pauni milioni 35.Chamberlain mwenye umri wa miaka 24 awali alikuwa akiwindwa na mabigwa watetezi wa ligi kuu ya Uingereza Chelsea lakini alikataa uhamisho huo siku ya Jumanne na sasa...

"Sethi Amewekwa Puto Tumboni" Kutokana na Matatizo ya Kiafya upande wa Utetezi Umeeleza

Upande wa utetezi umeieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa Mmiliki wa Kampuni ya kufua umeme ya IPTL, Harbinder Singh Sethi amewekewa ‘Puto’ tumboni kutokana na ugonjwa unaomkabili hivyo asipohudumiwa inavyotakiwa anaweza kupoteza maisha.Mbali ya Seth, mwingine ni Mfanyabiashara James Rugemarila ambapo kwa pamoja wanakabiliwa na mashtaka 12, yakiwemo ya kutakatisha...

BREAKING NEWS: Kamati ya Nidhamu TFF Yawatolea Tamko Msuva, Chirwa NA Kaseke

Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) imemkuta na makosa ya utovu wa nidhamu aliyekuwa mshambuliaji wa Yanga anayekipiga nchini Morocco, Simon Msuva ambaye imempa onyo kali la barua.Mbali na Msuva, wengine waliokuwa wakijadiliwa na kamati hiyo kwa utovu wa nidha kwenye michezo ya mwisho ya Ligi Kuu Tanzania Bara ni Obrey Chirwa (Yanga) na Deus Kaseke (Yanga)...