Latest News
Loading...

Huu ndio mkwanja wanaovuta Singida United kutoka kwa wadhamini wote

Timu ya Singida United imerejea kwenye ligi msimu huu baada ya kusota bondeni kwa muda mrefu, lakini wamerejea kwa kishindo kwa kuwa ni miongoni mwa vilabu ambavyo mfuko wao wa salio umetuna kutokana na pesa za wadhamini. Singida wana wadhamini rasmi watatu (YARA, SportPesa na Puma) wana wadau pia wanaowawezesha kama NMB Bank, DTB Bank na Oryx wote hao wanaingiza mtonyo...

Andre Iniesta aikana Barcelona

Hali ni mbaya ndani ya klabu ya Barcelona ambapo wanachama wameshaanza kutafuta saini ili kupiga kura ya kukosa imani na raisi wa klabu hiyo Josep Maria Bortomeu kutokana na mambo yanayoendelea ndani ya klabu hiyo. Pamoja na ushindi mnono wa bao 5 kwa 0 dhidi ya Espanyol lakini bado hali ni tete kwa Bortomeu na kati ya mambo yanayomuweka njia panda ni suala la mikataba...

“Natarajia kuwa na timu bora mara mbili ya Serengeti Boys iliyopita”-Kocha Milambo

Na Thomas Ng’itu Kocha Oscar Milambo wa Serengeti Boys ametamba kutengeneza kikosi kipya cha Serengeti Boys na kuwa imara zaidi ya kikosi cha mara ya kwanza. Milambo akipiga stori na ShafihDauda.co.tz alifunguka wameanza maandalizi ya mapema ili kupata kikosi imara kwaajili ya michuano ya chini ya miaka 17 inayotarajiwa kufanyika 2019 nchini Tanzania. “Tulianza mapema...

Wabunge Wanawake Kutoa Ushahidi wa Wanaume Waliotahiriwa Wanavyonogesha Tendo la Ndoa

Mbunge wa Konde, Khatibu Saidi Haji (CUF) amezua vicheko bungeni baada ya kuuliza swali ambalo linalohoji tafiti zinaonyesha kwamba wanaume waliotahiriwa wanakuwa active zaidi na wananogesha zaidi yale mambo (mapenzi).Mbunge Khatibu ameuliza swali hilo leo bungeni mjini Dodoma, ambapo spika Ndugai alipinga kuwa hilo sio swali “hilo nalifuta sio swali sio swali” amesema Spika...