April 20 2016 gari aina ya Toyota Hiace lililokuwa ndani ya Pantoni kuelekea Kigamboni Dar es salaam liliserereka na kuzama baharini ambapo inasadikiwa lilikuwa na watu wawili, uokoaji ulifanyika ambapo asubuhi jeshi la zimamoto na uokoaji lilifanikiwa kuupata mwili mmoja na mchana mwili wa pili wa Nice Karago ukapatikana...
Source:AyoTV
Latest News
Loading...
VIDEO: Gari lililozama Baharini Kivukoni Dar es salam April 20 2016
Related Posts:
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, John Mongella Atoa Masaa 48 Kwa Watumishi Kuhamia Maeneo yao Ya Kazi Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, John Mongela ametoa saa 48 kuanzia leo kwa Wakuu wa Idara wa Halmashauri ya Misungwi ambao wana makazi yao Mwanza mjini kuhamia mara moja kwenye maeneo ya kazi. Mongela alitoa agizo hilo … Read More
Serikali yaandaa mpango wa ajira kwa vijana nchini Serikali imeanzisha mpango maalumu wa mafunzo kwa wahitimu kutambua ujuzi katika sekta zisizo rasmi, ili kuwajengea vijana wigo mpana wa ajira kwa fani walizosomea. Mpango huo unalenga kutoa mafunzo ya ufundi katika… Read More
Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya April 8 … Read More
Binti Mwenye Ulemavu Afungiwa Ndani Kwa Miaka Kumi na Sita Arumeru Vitendo vya kuwafungia ndani watoto wenye ulemavu limeendelea kushamiri kwenye maeneo mengi nchini tukio la sasa likitokea katika kijiji cha njani wilayani Arumeru ambapo mtoto wa kike mweye ulemavu wa viungo amebainika ku… Read More
Lowassa Auponda Uongozi wa Rais Magufuli.......Asema Uongozi wake ni wa Hamasa na Umaarufu wa Muda Mfupi Siku 155 baada ya Dk John Magufuli kuapishwa kuwa Rais, aliyekuwa mgombea urais kwa tiketi ya Chadema katika uchaguzi huo, Edward Lowassa ametaja mambo matano yanayomfanya autilie shaka mustakabali wa Taifa chini ya uongozi … Read More
0 comments:
Post a Comment