Latest News
Loading...

Msajili wa vyama vya siasa nchini atoa ya moyoni juu ya CHADEMA

Msajili wa vyama vya siasa nchini, Jaji Francis Mutungi, amekionya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuhusu mikutano ya hadhara na maandamano yanayotarajia kuanza Septemba 1 mwaka huu. Alhamis hii, Mwenyekiti wa Chadema taifa, Freeman Mbowe alitangaza maazimio ya Kamati Kuu ya chama hicho iliyoketi kwa dharura huku kufanyika kwa mikutano ya hadhara na maandamano...

Kijana mbaroni kwa kumtukana Rais Magufuli hadharani

Mgomo wa daladala Jijini Mwanza umesababisha kijana mmoja Jijini humo kutamka lugha chafu ndani ya gari ambayo alipewa lifti limemsababishia kuishia mikononi kwa sheria.Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Ahmed Msangi akizungumza katika kipindi cha East Africa Breakfast dereva wa wa gari likitoa lifti Hassan Bushagama mkazi wa Buhongwa Jijini Mwanza asema alipofika eneo...

Hatimaye Msanii Ney wa mitego kasalimu amri

Msanii wa muziki wa Hip Hop, Nay wa Mitego ameanza kutekeleza baadhi ya maagizo aliyopewa na Baraza la Sanaa la Taifa baada ya kufungiwa kwa wimbo wake wa ‘Pale Kati’. Rapper huyo alipewa adhabu hiyo pamoja na kulipa faini ya shilingi milioni 1 baada ya kukutwa na makosa matatu likiwena la kutojisajiri katika baraza hilo. Katika taarifa aliyotoa Nay wa Mitego, ameonyesha...