Latest News
Loading...
TAZAMA PICHA ZA MTOTO MWENYE NGOZI YENYE MABAKA KAMA YA NYOKA ...

NIWAKATI MWINGINE WA BISHOST ELIZABETH MICHAEL aka LULU.

MUIGIZAJI machachari wa filamu nchini, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amesema baada ya kupata misukosuko ya kimaisha, sasa maisha yake ameyaelekeza katika sala kumuomba Mungu amsamehe makosa yake. Lulu alisema hayo juzi, katika kipindi cha Friday Night Live (FNL), kinachorushwa na kituo cha Televisheni cha EATV cha Jijini Dar es Salaam. “Sasa hivi nasali sana, namuamini...
MADEE AKUMBWA NA DHAHAMA  ALIPOWASILI NCHINI SOUTH AFRICA Kwa takribani yapata wikii mbili sasa tokea tuhuma za madawa ya kulevya kushamili nchini hususani watanzania wanojishugulisha na maswala hayo.... Karibuni kulizuka tuhuma ambazo za kweli kwa watanzania kukamatwa na madawa ya kulevya nchini Afrika ya kusini na hii inaleta mtafaruku ya ushirikiano...
Mshiriki wa Tanzania aliyetolewa Big Brother 2013 "The Chase" NANDO AKIWA NA TEAM NZIMA YA JAHAZI NDANI YA STUDIO ZA CLOUDS FM  Mshiriki aliyetolewa Big Brother 2013 "The Chase" Jumapili iliyopita Amm Nando akiwa na Mussa Hussein (katikati) na Wasiwasi Mwabulambo kwenye Jahazi hii leo.  Ammy Nando akiwa na Mtayarishaji wa kipindi cha Jahazi la Clouds...

ujio mpya wa tekinojia

Tazama technolojia ya usanifu majengo ilivyo shika k...