TAZAMA PICHA ZA MTOTO MWENYE NGOZI YENYE MABAKA KAMA YA NYOKA
...
Latest News
Loading...
NIWAKATI MWINGINE WA BISHOST ELIZABETH MICHAEL aka LULU.

MUIGIZAJI machachari wa filamu nchini, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amesema
baada ya kupata misukosuko ya kimaisha, sasa maisha yake ameyaelekeza
katika sala kumuomba Mungu amsamehe makosa yake. Lulu alisema
hayo juzi, katika kipindi cha Friday Night Live (FNL), kinachorushwa na
kituo cha Televisheni cha EATV cha Jijini Dar es Salaam. “Sasa hivi nasali sana, namuamini...
MADEE AKUMBWA NA DHAHAMA
ALIPOWASILI NCHINI SOUTH AFRICA
Kwa takribani yapata wikii mbili sasa tokea tuhuma za
madawa ya kulevya kushamili
nchini hususani watanzania wanojishugulisha na maswala hayo....
Karibuni kulizuka tuhuma ambazo za kweli kwa watanzania
kukamatwa na madawa
ya kulevya nchini Afrika ya kusini na hii inaleta mtafaruku ya
ushirikiano...

Mshiriki wa Tanzania aliyetolewa Big Brother 2013 "The Chase" NANDO AKIWA NA TEAM NZIMA YA JAHAZI NDANI YA STUDIO ZA CLOUDS FM
Mshiriki aliyetolewa Big Brother 2013 "The Chase" Jumapili iliyopita Amm
Nando akiwa na Mussa Hussein (katikati) na Wasiwasi Mwabulambo kwenye
Jahazi hii leo.
Ammy Nando akiwa na Mtayarishaji wa kipindi cha Jahazi la Clouds...