Latest News
Loading...

Rais Magufuli ataka Watanzania wasitishane Kuhusu Corona na badala yake wachukue tahadhari

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amewataka Watanzania kutotishwa na janga la ugonjwa wa homa ya mapafu inayosababishwa na virusi vya Corona (Covid-19) na badala yake waendelee kuchapa kazi na kujenga uchumi huku wakizingatia tahadhari zote za kujikinga kuambukizwa ugonjwa huo kama zilivyotolewa na wataalamu. Mhe. Rais Magufuli...

Huu ndio mkwanja wanaovuta Singida United kutoka kwa wadhamini wote

Timu ya Singida United imerejea kwenye ligi msimu huu baada ya kusota bondeni kwa muda mrefu, lakini wamerejea kwa kishindo kwa kuwa ni miongoni mwa vilabu ambavyo mfuko wao wa salio umetuna kutokana na pesa za wadhamini. Singida wana wadhamini rasmi watatu (YARA, SportPesa na Puma) wana wadau pia wanaowawezesha kama NMB Bank, DTB Bank na Oryx wote hao wanaingiza mtonyo...

Andre Iniesta aikana Barcelona

Hali ni mbaya ndani ya klabu ya Barcelona ambapo wanachama wameshaanza kutafuta saini ili kupiga kura ya kukosa imani na raisi wa klabu hiyo Josep Maria Bortomeu kutokana na mambo yanayoendelea ndani ya klabu hiyo. Pamoja na ushindi mnono wa bao 5 kwa 0 dhidi ya Espanyol lakini bado hali ni tete kwa Bortomeu na kati ya mambo yanayomuweka njia panda ni suala la mikataba...

“Natarajia kuwa na timu bora mara mbili ya Serengeti Boys iliyopita”-Kocha Milambo

Na Thomas Ng’itu Kocha Oscar Milambo wa Serengeti Boys ametamba kutengeneza kikosi kipya cha Serengeti Boys na kuwa imara zaidi ya kikosi cha mara ya kwanza. Milambo akipiga stori na ShafihDauda.co.tz alifunguka wameanza maandalizi ya mapema ili kupata kikosi imara kwaajili ya michuano ya chini ya miaka 17 inayotarajiwa kufanyika 2019 nchini Tanzania. “Tulianza mapema...

Wabunge Wanawake Kutoa Ushahidi wa Wanaume Waliotahiriwa Wanavyonogesha Tendo la Ndoa

Mbunge wa Konde, Khatibu Saidi Haji (CUF) amezua vicheko bungeni baada ya kuuliza swali ambalo linalohoji tafiti zinaonyesha kwamba wanaume waliotahiriwa wanakuwa active zaidi na wananogesha zaidi yale mambo (mapenzi).Mbunge Khatibu ameuliza swali hilo leo bungeni mjini Dodoma, ambapo spika Ndugai alipinga kuwa hilo sio swali “hilo nalifuta sio swali sio swali” amesema Spika...

Liverpool yakamilisha usajili wa Chamberlain

Ikiwa ni siku ya mwisho ya dirisha la usajili nchini Uingereza klabu ya Liverpool imekamilisha usajili wa kiungo wa kati Alex Oxlade-Chamberlain kutoka katika klabu ya Arsenal kwa kiasi cha pauni milioni 35.Chamberlain mwenye umri wa miaka 24 awali alikuwa akiwindwa na mabigwa watetezi wa ligi kuu ya Uingereza Chelsea lakini alikataa uhamisho huo siku ya Jumanne na sasa...

"Sethi Amewekwa Puto Tumboni" Kutokana na Matatizo ya Kiafya upande wa Utetezi Umeeleza

Upande wa utetezi umeieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa Mmiliki wa Kampuni ya kufua umeme ya IPTL, Harbinder Singh Sethi amewekewa ‘Puto’ tumboni kutokana na ugonjwa unaomkabili hivyo asipohudumiwa inavyotakiwa anaweza kupoteza maisha.Mbali ya Seth, mwingine ni Mfanyabiashara James Rugemarila ambapo kwa pamoja wanakabiliwa na mashtaka 12, yakiwemo ya kutakatisha...

BREAKING NEWS: Kamati ya Nidhamu TFF Yawatolea Tamko Msuva, Chirwa NA Kaseke

Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) imemkuta na makosa ya utovu wa nidhamu aliyekuwa mshambuliaji wa Yanga anayekipiga nchini Morocco, Simon Msuva ambaye imempa onyo kali la barua.Mbali na Msuva, wengine waliokuwa wakijadiliwa na kamati hiyo kwa utovu wa nidha kwenye michezo ya mwisho ya Ligi Kuu Tanzania Bara ni Obrey Chirwa (Yanga) na Deus Kaseke (Yanga)...

Breaking News: BASI LA SAFARI NJEMA LATEKETEA KWA MOTO LIKITOKA DODOMA KWENDA DAR

Basi la Safari Njema lililokuwa likitokea Dodoma kwenda Dar es salaa limeteketea kwa moto Kimara Stope Over. Angalia video hapa chini Basi la Safari Njema likiteketea kwa moto ...

Tetemeko laporomosha majumba na kusababisha maafa makubwa.

Image copyright@MONKSOFNORCIAImage captionInasemekana kuwa watawa walinusurika kwa kukimbia kutoka ndani ya kanisa hili la mtakatifu Benedict mjini Norcia lililoporomoka Tetemeko lingine baya la ardhi, limegonga maeneo ya katikati mwa Italia, mahali ambapo watu 300 waliuwawa mwezi Agosti mwaka huu. Idara ya Seisomologia nchini Italia inakadiria kuwa tetemeko hilo lilikuwa...

Mtu aliyevalia kama mti akamatwa Marekani

Image copyrightTED VARIPATIS/TWITTER Mwanamume mmoja nchini Marekani, ambaye ameanza kufahamika kama "binadamu mti", alikamatwa baada yake kuvuka barabara akiwa amevalia kama mti. Asher Woodworth, kutoka jimbo la Maine nchini Marekani, alijifunika kwa matawi na kuvuka barabara polepole. Polisi walimsindikiza hadi kando mwa barabara kabla ya kumuweka kizuizini. Asher baadaye...

Majina ya watu 4 matajiri zaidi Tanzania

Uchumi mkubwa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania unategemea zaidi kilimo kwa takriban asilimia 25 ya pato la taifa na asilimia 85 bidhaa zinazouzwa nje ya nchi. Aidha, Tanzania ina madini kama dhahabu, almasi, makaa ya mawe, uraniamu, chuma, shaba, Tanzanite na mengine lukuki. Toka kuaga sera za kijamaa katikati mwa miaka ya 1980, ambako pia Mwalimu Nyerere aling’atuka kupisha...

Kwa Mara ya Kwanza Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli Kutembelea Nchini Kenya....

Kwa mara ya kwanza Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli, atazuru taifa jirani la Kenya hapo kesho Jumatatu.Ziara ya Magufuli nchini humo, inatukia wakati ambapo uhusiano wa mataifa hayo mawili umekuwa ukilegea.Kwenye ajenda ya ziara hiyo rasmi ya kiserikali, kati yake na mwenyeji wake Rais Uhuru Kenyatta, ni kuimarisha biashara kati ya mataifa hayo mawili, kwani Rais magufuli...

TFDA yakamata dawa bandia zenye thamani ya shilingi milioni 17.4

Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) imekamata dawa bandia aina tano katika mikoa ya Kanda ya Ziwa na Nyanda za Juu Kusini. Miongoni mwa dawa hizo ni dawa za Malaria. Akizungumza na waandishi wa habari Jumamosi hii, jijini Dar es salaam,Mkurugenzi mkuu wa TFDA, Hiiti Sillo,amesema mamlaka hiyo ilifanya utafiti katika kanda hizo baada ya kupata taarifa za uwepo wa dawa bandia...

Picha: Show ya Diamond Malawi yafana licha ya mvua kubwa kunyesha

Licha ya mvua kubwa kunyesha, Diamond amefanikiwa kupiga show iliyofana kwenye Sand Music Festival iliyofanyika kwenye fukwe za Living stone Jumamosi hii. Mpiga picha wake, Kifesi amedai kuwa mvua kubwa ilinyesha na kulazimu show yake kusimama kwa muda. Hata hivyo mashabiki waliokuwa na hamu kumuona akitumbuiza, walisubiri hadi ilipokata. Kwenye picha hii Kifesi ameandika:...

Magazeti ya Tanzania October 27, 2016 kuanzia, Udaku, Hardnews na michezo

...