Latest News
Loading...

Wastara apata shavu la ubalozi wa kampuni mpya ya simu, atavuna Tsh milioni 400 kwa miaka 2

Malkia wa filamu Wastara Juma amepata shavu la kuwa balozi wa kampuni ya simu za mkononi ya KZG Tanzania yenye makao makuu yake nchini China.Wastara akionyesha mkataba Katika mkataba huo mwigizaji huyo atavuna kiasi cha tsh milioni 400 kwa miaka miwili akiwa balozi wa kampuni hiyo kwa matangazo na matamasha mbalimbali. Akiongea na Filamu Central meneja mauzo wa kampuni...

Tibaijuka agoma kuchukua milioni 200 za tuzo

Mbunge wa Muleba Kusini Profesa Anna Tibaijuka ametunukiwa tuzo ya heshima ya Maendeleo Endelevu ya Mwana Mfalme Khalfa bin Salman Al Khalifa ikiwa ni utambuzi wa mchango wake wa kuchochea maendeleo Tibaijuka ameyasema jana wakati akizungumza na wanahabari kwa lengo la kuelezea namna alivyopatiwa tuzo hiyo pamoja na fedha kiasi cha dola laki moja ambayo amekataa kuichukua...

Ushindi wa Genk ya Samatta uliowafanya waongoze Kundi F Europa League

Usiku wa Septemba 29 2016 klabu ya KRC Genk inayochezewa na nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars Mbwana Samatta ilishuka uwanjani kucheza mchezo wake wa pili wa Kundi F wa Europa League dhidi ya Sassuolo ya Italia, Genk waliwakaribisha  Sassuolo katika uwanja wao wa nyumbani...

Hatimae Man United wapata ushindi wa kwanza Europa League

Baada ya kuanza vibaya kwa klabu ya Man United katika mchezo wake wa kwanza waEuropa League dhidi ya Feyenoord nchini Uholanzi, usiku wa Septemba 29 Man Unitedwalishuka tena dimbani kucheza mchezo wao wa pili wa Kundi A Europa League dhidi yaZorya. Man United ambao mchezo wa kwanza walipoteza kwa goli 1-0 dhidi ya Feyenoordambao...

Magazeti ya Tanzania September 30, 2016

...

Manji aizawadiwa Yanga ekari 715 zijengwe uwanja wa kisasa maeneo ya Kigamboni

Hatimaye klabu ya Yanga imepata sehemu nyingine ya kujenga Uwanja wa kisasa kutoka kwa mwenyekiti wa klabu ya Yanga Yussuf Manji ametoa eneo la ekari 715 na kuikabidhi klabu hiyo maeneo ya Kigamboni Geza Ulole jijini Dar es Salaam maalum kwa ajili ya ujenzi wa uwanja na wa klabu hiyo. Katika hafla hiyo iliyohudhuriwa pia na Waziri wa Mambi ya Ndani, Mwigulu Nchemba, mke...

Yemi Alade akiishi alichokifanya Michael Jackson, Brazil

Staa wa Nigeria, Yemi Alade ametumia location iliyopo nchni Brazil kwenye mji wa Rio de Jeneiro ya Favela of Dona Marta aliyowahi kuitumia mfalme wa muziki wa pop duniani, marehemu Michael Jackson kwenye video ya wimbo wake wa ‘The Don’t Care About Us.’ Yemi yupo nchini humo kwaajili ya mradi wa kampuni ya mafuta ya Shell, uliopewa jina ‘Make The Future’ akiungana na mastaa...